Jumanne, 2 Januari 2018

MAANA YA FONETIKI

               MAANA YA FONETIKI KWA MUJIBU WA WATAALAMU MBALIMBALI

Mgulu(2001-20)anasema kwa mujibu wa Hayman(19790) Fonetik ni taaluma ambayo hususan huchunguza sauti ambazo hutumiwa na binadamu . 
Habwe na Karanja(2004-20)ni taaluma ya sayansi inachunguza sauti za biaadamu . 
Image result for matawi ya fonetiki
Massamba (2007-20)Ni tawi la isimu ambalo linajishughulisha na sauti za lugha za binaadamu  .

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni